Show Bookstore Categories

Maswali na Majibu

ByCarl Hinton

Usually printed in 3 - 5 business days
Wakati wa miaka hiyo ishirini alikuwa akiulizwa maswali mengi kutoka katika Biblia na maswali mengine yalitokana na imani zao kulingana na mafundisho, baadhi ya maswali yamerudiwa rudiwa kuulizwa. Inafikiriwa kuwa majibu ya maswali haya yatakuwa msaada wa maana sana kwa wengine kwa hiyo kitabu hiki kimeandikiwa ikiwa ni mkusanyiko wa majibu ya maswali ambayo yaliulizwa mara nyingi. Hii siyo njia ya kujaribu kuyajibu maswli yote ya viongozi wa dini, kwa hiyo; soma kitabu kiitwacho Maandiko Magumu kilichoandikwa na Ron Abel. Hiki kitabu kimekusudiwa ili kujibu maswali ya watu wa kawaida.

Details

Publication Date
May 23, 2015
Language
Swahili
ISBN
9781326284176
Category
Religion & Spirituality
Copyright
All Rights Reserved - Standard Copyright License
Contributors
By (author): Carl Hinton

Specifications

Pages
84
Binding
Perfect Bound
Interior Color
Black & White
Dimensions
Pocket Book (4.25 x 6.875 in / 108 x 175 mm)

Keywords

Ratings & Reviews