Fasihi na Ulemavu: Uchambuzi wa Methali za Kiswahili
Usually printed in 3 - 5 business days
Fasihi na Ulemavu: Uchambuzi wa Methali za Kiswahili ni kitabu kinachochambua methali za Kiswahili zenye kutaja ulemavu. Je ni ulemavu wa aina gani unaotajwa katika methali hizo? Kwa nini utajwe ulemavu huo na sio mwingine? Kwa nini aina fulani ya ulemavu inajitokeza zaidi ikilinganishwa na aina zingine za ulemavu? Soma kitabu hiki ufahamu majibu ya maswali haya.
Details
- Publication Date
- Mar 16, 2013
- Language
- Swahili
- ISBN
- 9781300841739
- Category
- Education & Language
- Copyright
- All Rights Reserved - Standard Copyright License
- Contributors
- By (author): elizabeth mahenge
Specifications
- Pages
- 50
- Binding
- Perfect Bound
- Interior Color
- Black & White
- Dimensions
- US Letter (8.5 x 11 in / 216 x 279 mm)