Chaukaange
This ebook may not meet accessibility standards and may not be fully compatible with assistive technologies.
Mzee Cipilipili anafariki.Mkewe, Bi Sautina mwanawe Fumbo wananyanyaswa na ndugu wa mume kijinini kwao Mtanana. Wanafukuzwa katika nyumba ya urithi na kuishi maisha ya shida.Siku moja Fumbo anamnasa ndege mkubwa mtegoni. Hata hivyo, anamwonea huruma. Anamnasua. Wanalipwa fadhila kwa kupelekwa kwenye jumba la kifahari ughaibuni lililosheheni vyakula vingi. Huko pia anazaliwa kiumbe wa ajabu Chaukaange na kuwashangaza watu kwa vituko vyake
Details
- Publication Date
- Sep 24, 2019
- Language
- English
- ISBN
- 9789976545425
- Category
- Fiction
- Copyright
- All Rights Reserved - Standard Copyright License
- Contributors
- By (author): Charles Joseph Mloka
Specifications
- Format
- EPUB