Mungu Baba, Mwongozo wa Mkufunzi

Mungu Baba, Mwongozo wa Mkufunzi

Capstone Module 6, Swahili Mentor Guide

ByDr. Don L. Davis

Usually printed in 3 - 5 business days
Fundisho la nafsi ya Mungu wetu, Baba Mwenyezi, ni mojawapo ya mafundisho ya Neno la Mungu yaliyo muhimu na yenye utajiri mwingi zaidi. Linaathiri kila sehemu ya ufuasi wetu, ibada, na huduma; kama Bwana wetu Yesu alivyosema, “Uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma” (Yohana 17:3). Moduli hii inashughulikia kwa upana kategoria za utaratibu za elimu ya “theolojia sahihi.” Tutaanza kwa kufafanua dhana za ufunuo wa jumla na ufunuo maalum, na kuchunguza kwa makini umuhimu wa kujifunza fundisho juu ya Mungu katika suala la uwepo wa Mungu kila mahali daima (immanence), yaani, ushiriki na utendaji wake wa sasa katika uumbaji, pamoja na upitaji wake fahamu (transcendence), asili isiyo na kikomo na isiyojulikana ya Mungu. Pia tutachunguza mamlaka kuu ya Mungu na uangalizi wake juu ya viumbe vyote na historia, jinsi Baba Mweza wa Yote alivyo mwenye enzi juu ya yote, chanzo cha uhai wote, na mtegemezaji wa yote kupitia Mwanawe, Yesu Kristo. Zaidi ya hayo, tutachunguza uthibitisho wa Biblia wa Utatu, utambulisho wa Mungu wa utatu na, hatimaye, tutagundua wema wa ajabu wa Mungu, unaoonyeshwa katika sifa zake za kiadili za usafi kamili wa kiadili, uadilifu kamili na upendo usio na mipaka.

Details

Publication Date
Oct 24, 2024
Language
Swahili
ISBN
9781629323770
Category
Religion & Spirituality
Copyright
All Rights Reserved - Standard Copyright License
Contributors
By (author): Dr. Don L. Davis

Specifications

Pages
302
Binding Type
Paperback Perfect Bound
Interior Color
Black & White
Dimensions
A4 (8.27 x 11.69 in / 210 x 297 mm)

Ratings & Reviews