Clear all

Categories

Tabasamu La Kinyago

Tabasamu La Kinyago

ByNyakombe Samwel

Tabasamu la kinyago ni riwaya ya kiutengano inayozungumzia hali halisi ya maisha ya watu katika bara la Afrika hususan katika nchi ya Tanzania. Riwaya hii inagusia masuala ya uchumi, mapenzi na matumizi mabaya ya madaraka ambapo vitendo vya uonevu, usaliti, fitina na visasi vinaibuliwa kwa namna ya kusisimua.

Details

Publication Date
Nov 11, 2017
Language
Swahili
ISBN
9781387361830
Category
Fiction
Copyright
All Rights Reserved - Standard Copyright License
Contributors
By (author): Nyakombe Samwel

Specifications

Format
PDF

Ratings & Reviews